HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 07, 2013

NSSF WASHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SABASABA


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabibidhi kombe, Meneja Kiongozi, Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam
 Meneja Kiongozi, Uhusiano Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume akionesha vikombe walivyopata baada ya kuibuka washindi
  Meneja Kiongozi, Uhusiano Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume akipokea kikombe cha ushindi kwa upande wa taasisi za fedha.
   Meneja Kiongozi, Uhusiano Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume akimkabidhi Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu.  
 Furaha ya ushindi.
 Ilikuwa ni siku nzuri kwa wafanyakazi wa NSSF. 
Wafanyakazi wa NSSF wakielekea kaika banda la NSSF baada ya kukabidhiwa zawadi zao.

No comments:

Post a Comment

Pages