Wananchi wakijaribu kufukua udongo ili kuopoa miili ya watu walofukiwa na
kifusi katika machimbo ya Moramu eneo la Pumuani wilaya ya Moshi vijijini huku wananchi wengine wakishuhudia. Tukio hilo limetokea usiku jana na zoezi kudumu la kuopoa miili lilidumu hadi saa nane usiku. (Picha zote na Dixon Busagaga)
Uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro ukiongozwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama ukishuhudia zoezi la
ukoaji wa miili ya watu hao.
Mmoja ya mwili wa mmoja kati ya watu sita waliokufa kwa kufunikwa na kifusi katika machimbo ya Moramu eneo la Pumuani
wilaya ya Moshi vijijini.
Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T 167 AQG ambalo marehemu wa tukio hilo walikuwa wakijaza Moramu likiwa
limeangukiwa na ngema iliyokatika na kusababisha vifo vya watu sita.
Miili ya baadhi ya watu waliofunikwa na kifusi ikiwa inafanyiwa
utaratibu wa kwenda kuhifadhiwa.
Miili ya baadhi ya watu waliofunikwa na kifusi.
Miili ikiopolewa.
Miili ya baadhi ya watu waliofunikwa na kifusi ikiwa inafanyiwa
utaratibu wa kwenda kuhifadhiwa.
kamati ya ulinzi na usalama ilikuwepo.
Greda ya manispaa ikijaribu kubeba gari lililoangukiwa na ngema ili
zoezi la uopoaji miiili uendelee kwa
urahisi.
Miili ya marehemu waliofukiwa na kifusi ikitolewa katika udongo
baada ya kazi ya zaidi ya saa 5 ya kufukua eneo hilo
kumalizika.
Zoezi la kuopoa miili ya marehemu likiendelea.
Baadhi ya ndugu wa marehemu walizimia baada ya kuona miili ya ndugu zao ikiopolewa kutoka kwenye udongo.
No comments:
Post a Comment