HABARI MSETO (HEADER)


June 27, 2014

TBL FAMILY DAY NA MNUSO WAO BABKUBWA

 Wafanyakzi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na familia zao wakiwa kwenye foleni ya kupata msosi wakati wa hafla ya Siku ya Familia ya TBL,  kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, Hoteli ya Bahari Beach, Kunduchi, Dar es Salaam.
 Wakishindana  katika mchezo wa kuvutana kamba.
 Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na familia zao wakishindana kucheza mpira wa miguu ikiwa ni moja ya shamrashamra za hafla ya Siku ya Familia ya TBL,  katika ufukwe wa Bahari ya Hindi karibu na Hoteli ya Bahari Beach, Kunduchi, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na familia zao wakishindana kucheza mpira wa miguu ikiwa ni moja ya shamrashamra za hafla ya Siku ya Familia ya TBL,  katika ufu
kwe wa Bahari ya Hindi karibu na Hoteli ya Bahari Beach, Kunduchi, Dar es Salaam.
 Watoto wakifurahia kuchezea vibaiskeli
 Wakigongeana glasi zenye vinywaji kwa lengo la kutakiana heri
 Vipimo kwa ajili ya afya havikukosekana.
 Wasanii wa kikundi cha sanaa cha Dar Creator wakitumbuiza wakati wa hafla ya Siku ya Familia ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),katika ufukwe wa Bahari ya Hindi karibu na Hoteli ya Bahari Beach, Kunduchi, Dar es Salaam..
 Du maajabu hayo.
 Badhi ya viongozi wa TBL wakistarehe  huku wakibadishana mawazo
 Wakishindana kucheza Water Pole
 Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu akiwa na familia.          
 Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), David Magese (kulia), akimkabidhi mtoto Said Shaban zawadi baada ya kuwa mmoja wa washindi wa mbio za watoto wakati wa hafla ya Siku ya Familia ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo, katika ufukwe wa Bahari ya Hindi karibu, Kunduchi, Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Mauzo wa TBO Kanda ya Kusini, James Bokela.
 Sasa ni wakati wa kucheza  twist
 Bendi ya Mashujaa iktoa burudani.

No comments:

Post a Comment

Pages