HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 17, 2014

WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA

  •  Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCM
  • Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
  • Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
  • Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
  • Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
 Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi yao .
 Mwakilishi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Diwani Viti Maalum Maanda Mgoitiko akichangia mada wakati wa mkutano wa Wawakilishi wa Mabaraza ya Wazee wa Kimila wa Kimasai na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana

No comments:

Post a Comment

Pages