HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 11, 2015

NMB YAKABIDHI FULANA KWA AJILI YA SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR

Meneja wa NMB tawi la Darajani Zanzibar, Abdalla Duchi (kushoto) akikabidhi jezi za mpira wa miguu kwa ajili ya timu ya wawakilishi kwa Mwakilishi wa Rahaleo, Nassor Salumu 'Jazira' (wa pili kulia) kwa ajili ya mchezo wa kirafiki kati ya Baraza la wawakilishi na timu ya NMB utakaofanyika siku ya kilele cha sherehe za mapinduzi kwenye uwanja wa Amaan saa 11 jioni.
 Meneja wa NMB tawi la Darajani Zanzibar, Abdalla Duchi (kushoto) akikabidhi fulana zilizotolewa na benki hiyo kwa Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi, Ali Abdalla Ali.Kulia ni Mwakilishi wa Rahaleo, Nassor Salumu 'Jazira'.Fulana hizo zitatumiwa kwaajili ya maadhimisho ya sikukuu ya mapinduzi ya Zanzibar leo.
Meneja wa NMB tawi la Darajani Zanzibar, Abdalla Duchi (kushoto) akikabidhi jezi za mpira wa miguu kwa ajili ya timu ya wawakilishi kwa Mwakilishi wa Rahaleo, Nassor Salumu 'Jazira' (wa pili kulia) kwa ajili ya mchezo wa kirafiki kati ya Baraza la wawakilishi na timu ya NMB utakaofanyika siku ya kilele cha sherehe za mapinduzi kwenye uwanja wa Amaan saa 11 jioni.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXX




Benki ya NMB imekabidhi fulana 500 kwa wawakilishi kwa ajili ya sherehe ya miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar. Vilevile benki hiyo imekabidhi jezi kwa ajili ya pambano la kirafiki litakalofanyika siku ya kilele cha sherehe za mapinduzi kwenye uwanja wa Amaan mjini Zanzibar jioni.

No comments:

Post a Comment

Pages