HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 08, 2015

YANGA YAITANDIKA KMKM YA ZANZIBAR 1-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman akichuana na beki wa KMKM ya Zanzibar, Musa Said.
 Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akjimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir.
 Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdukadir.
 Beki wa Yanga, Salum Telela akijaribu kumpiga chenga kipa wa KMKM, Nasoro Abdul.
Mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke akimtoka beki wa KMKM.
Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM ya Zanzibar, Khamis Ally katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0. 
Timu zote mbili zikiingia uwanjani.
Wachezaji wa KMKM wakisalimiana na wenzao wa Yanga.
 Kikosi cha Yanga.
 Waamuzi wa mchezo wa Yanga na KMKM.
 Benchi la ufundi la Yanga.
 Benchi la ufundi la KMKM.
Mashabiki.

No comments:

Post a Comment

Pages