Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akinyooshewa vidole gumba na wakazi wa Jimbo la Ukonga ikiwa ni ishara ya kukubali kumpigia kura ya ndiyo , wakati wa mkutano wa kampeni eneo la Moshi Bar, Ukonga Dar es Salaam.
Dk Magufuli aiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam leo.
Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga kupitia CCM, Jerry Silaa wakati wa mkutano wa kampeni jimboni humo leo.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiagana na wakazi wa Jimbo la Ukonga baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni eneo la Moshi Bar, Ukonga Dar es Salaam
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiagana na wakazi wa Jimbo la Ukonga baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni eneo la Moshi Bar, Ukonga Dar es Salaam.




No comments:
Post a Comment