HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 18, 2015

LOWASSA AFANYA MKUTANO WA KAMPENI MBEYA, MAELFU WAJITOKEZA

 Mgombea urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akihutubia maelfu ya wakazi wa Mbeya katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ruanda Nzovwe. (Picha zote na Keneth Ngelesi)
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa akihutubia maelfu ya wakazi wa Mbeya leo.
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye akiingia kwenye uwanja wa Ruanda Nzovwe.

No comments:

Post a Comment

Pages