Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia)akizungumza na Waziri
wa
Biashara na Viwanda wa Sudan ya Kusini Mhe. Stephen Dhieu Dau Ayik
aliyeleta ujumbe maalum wa Rais wa nchi hiyo Salva Kiir kwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli na kupokelewa
na Makamu wa Rais ,Ikulu jijini Dar es Salaam (Picha na Ofisi ya Makamu
wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Sudan ya Kusini Mhe. Stephen Dhieu Dau Ayik pamoja na ujumbe wake ambao walileta ujumbe maalum wa Rais wa nchi hiyo Salva Kiir kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli na kupokelewa na Makamu wa Rais ,Ikulu jijini Dar es Salaam (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment