Wafanyakazi wa wakala Wa ununuzi serikalini GPSA wakiwa kwenye banda lao lililopo kwenye viwanja vya ngongo mkoani LINDI Uwepo wa Wakala Wa Ununuzi serikalini lengo kuu ni kutoa huduma bora za ununuzi na ugavi wa wizara, idara za serikali zinazojitegemea ikiwemo mashirika ya serikali na Halmashauri.
Meneja Masoko na Mauzo wa Wakala wa Ununuzi Serikalini GPSA, Hamza Hasani akitoa maelezo juu ya huduma zinazotolewa na wakala hao kwa mteja aliyetembelea kwenye banda la wakala hao Katika banda la maonyesho ya nane nane viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Meneja Masoko na Mauzo wa Wakala wa Ununuzi Serikalini GPSA, Hamza Hasani akitoa maelezo juu ya huduma zinazotolewa na wakala hao kwa mteja aliyetembelea kwenye banda la wakala hao Katika banda la maonyesho ya nane nane viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
No comments:
Post a Comment