Mnara wa Mwalimu Nyerere uliozinduliwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi leo mchana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifungua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikagua ndani ya jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo kutoka kwa Mussa Efata wa NHC wakati akikagua jengo hilo jipya la makao makuu ya NHC.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akimpongeza Mzee Galus Abeid wakati wa uzinduzi wa jengo hilo.
Mkurugenzi wa Usimamizi Milki wa NHC, Hamad Abdallah akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa NHC, Issack Peter akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akifurahi jambo baada ya kuzindua jengo la makao makuu ya NHC kwenye hafla hiyo fupi iliyofanyika leo mchana. Kushoto kwake ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Ali Laay na anayefuata ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu.
Jengo la Makao makuu ya Shirika hilo lijulikanalo kama KAMBARAGE HOUSE ikiashiria kumuenzi Rais wa Kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwasisi wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linavyoonekana sasa. Uzinduzi wa jengo hilo la makao makuu umekwenda sambamba na uzinduzi wa Mnara wa Mwalimu Julius Nyerere uliofanywa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi
December 06, 2017
Home
Unlabelled
WAZIRI LUKUVI AZINDUA MNARA WA MWALIMU NYERERE NA MAKAO MAKUU YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA
WAZIRI LUKUVI AZINDUA MNARA WA MWALIMU NYERERE NA MAKAO MAKUU YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA
Share This

About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment