Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akibadilishana na mawazo na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kisiwani, Peter, Mwasingi (wa pili kushoto), kada wa CCM, Ebeneza Emmanuel (kulia) na kushoto ni kada wa chama hicho, Willy Kamwela,
Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akibadilishana na mawazo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Bonyokwa, Nuhu Mwambuma.
Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akitoa hotuba yake wakati wa semina elekezi kwa viongozi wa CCM Kata ya Bonyokwa.
Kada wa CCM, Ebeneza Emmanuel akitoa mada katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Meza Kuu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu Wilaya ya Ilala, Mjumbe wa Halmashauri Kuu Kata ya Bonyokwa na Mjumbe wa Baraza UWT, Tumike Malilo (kushoto), akiwa ukumbini kabla ya kuanza kwa semina hiyo.
No comments:
Post a Comment