HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 01, 2020

MTANGAZAJI WA TBC MARIN HASSAN MARIN AFARIKI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba , anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu, Marin Hassan Marin kilichotokea leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa na uongozi wa TBC.
 

No comments:

Post a Comment

Pages