HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 15, 2020

CHADEMA KUBORESHA IDARA YA UHAMIAJI

 

Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia katika mkutano wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Namanga jimbo la Longido, mkoani Arusha Septemba 14, 2020. Mgombea huyo ametoa ahadi ya kufanya mabadiliko makubwa katika uboreshwaji wa idara ya uhamiaji hasa katika kitengo cha utoaji hati za kusafiria ambapo amesema CHADEMA itakapoingia madaraka itahakikisha ndani ya siku 21 taratibu za kumpatia mtu hati ya kusafiria zitakuwa zimekamilika tofauti na ilivyo sasa.
Baadhi ya viongozi wa CHADEMA jimbo la Longido.
 
Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akihutubia katika mkutano wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Namanga jimbo la Longido, mkoani Arusha.
 Wakazi wa Namanga wakimsikiliza mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, wakati akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Namanga jimbo la Longido, mkoani Arusha.

Madiwani wa kata tofauti katika jimbo la Longido.
Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Longido, Paulina Laizar.
Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akivishwa vazi la kitamaduni na mmoja wa viongozi wa Chadema jimbo la Longido.

Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akiwashukuru wakazi wa Namanga mkoani Arusha baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Longido. 

Mgombea nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu, akipeana mkono na mgombea ubunge jimbo la Longido, Paulina Laizar, mara baada ya kuhutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Namanga Shule Septemba 14, 2020.


No comments:

Post a Comment

Pages