HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 15, 2020

WAKAZI WA KIKATITI WASIMAMISHA MSAFARA WA MGOMBEA MWENZA CHADEMA


Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Salum Mwalimu, akihutubia wakazi wa Kikatiti waliosimamisha msafara wake wakati akielekea Namanga katika mkutano wa kampeni Septemba 14, 2020.

Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki.
Mgombea wa nafasi ya Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki.


No comments:

Post a Comment

Pages