HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 14, 2020

LISSU ANGURUMA IRINGA MJINI

 

Mgombea urais kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akihutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Mwembetogwa Iringa Mjini.

Wananchi wa Iringa wakiwa katika mkutano wa kampeni za mgombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu.


Mgombea urais kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akihutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Mwembetogwa Iringa Mjini.



No comments:

Post a Comment

Pages