Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga akisalimiana na Mkurugenzi wa Uchambuzi na Upangaji Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Veronica Nyahende wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB Jumatatu (Januari 4, 2020).
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga akipokea moja ya machapisho yanayochapishwa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakati wa ziara ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisiya HESLB,Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB. (PICHA NA BODI YA MIKOPO-HESLB).
No comments:
Post a Comment