Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chama,akitafuta mbinu zakuwatoka wachezaji FC Platinum kwenye mechi ya mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam leo.
Beki wa Simba Mohamed
Hussein,akimtoka mchezaji Tshabalah, FC Platinum kwenye mechi ya mkondo wa pili wa Ligi
ya Mabingwa mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam leo.
Kiungo wa Simba Larry Bwalya, akitafuta mbinu zakuwatoka wachezaji FC Platinum kwenye mechi ya mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment