HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 08, 2021

TCRA yatekeleza agizo la Waziri Ndugulile

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Joannes Karungura, akizungumza na wakuu wa makampuni ya Mawasiliano juu ya kuboresha huduma hiyo katika Kikao kilichofanyika Makao Makuu ya Mamlaka hiyo ikiwa ni agizo la Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari  Dkt. Faustine Ndugulile ya Mamlaka hiyo kukutana na wadau kujadili kuhusiana vifurushi vya Bando uliofanyika Makao Makuu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages