Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Joannes Karungura, akizungumza na wakuu wa makampuni ya Mawasiliano juu ya kuboresha huduma hiyo katika Kikao kilichofanyika Makao Makuu ya Mamlaka hiyo ikiwa ni agizo la Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile ya Mamlaka hiyo kukutana na wadau kujadili kuhusiana vifurushi vya Bando uliofanyika Makao Makuu Jijini Dar es Salaam.
January 08, 2021
Home
Unlabelled
TCRA yatekeleza agizo la Waziri Ndugulile
TCRA yatekeleza agizo la Waziri Ndugulile
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment