HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 08, 2021

SERIKALI YA CHINA YATOA ZAIDI YA MILIONI 350 KUBORESHA MAFUNZO CHUO CHA VETA-CHATO

 

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, akionyesha kitabu chenye hundi ya zaidi ya Sh. milioni 350 zilizotolewa na serikali ya China kwa ajili ya kuboresha mafunzo katika Chuo Cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) cha Wilayani Chato, mkoani Geita kilichozinduliwa jana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi ambaye yupo nchini kwa ziara ya kikazi kwa siku mbili.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi wakizindua Chuo Cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kilichopo wilayani Chato mkoani Geita, jana.


 

No comments:

Post a Comment

Pages