Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, akionyesha kitabu chenye hundi ya zaidi ya Sh. milioni 350 zilizotolewa na serikali ya China kwa ajili ya kuboresha mafunzo katika Chuo Cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) cha Wilayani Chato, mkoani Geita kilichozinduliwa jana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi ambaye yupo nchini kwa ziara ya kikazi kwa siku mbili.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi wakizindua Chuo Cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kilichopo wilayani Chato mkoani Geita, jana.
No comments:
Post a Comment