HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 10, 2021

SIMBA KUONDOKA KESHO KWENDA KUUMANA NA KAIZER CHIEFS

  

Kikosi cha mabingwa wa nchi kitaondoka alfajiri Mei 11, 2021 majira ya saa 9:45 kuelekea Afrika Kusini kupitia Kenya tayari kwa mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CCL) dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa siku ya Jumamosi Mei 15, 2021.  (Picha kwa hisani ya Simba).

No comments:

Post a Comment

Pages