Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili kijijini Lupaso Wilaya ya Masasi kushiriki misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin Mkapa, Julai 24, 2021. (Picha na VPO).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Mkewe mama Mbonimpawe Mpango wakiweka shada la maua katika kaburi la Hayati Benjamin Mkapa, kijijini Lupaso wilayani Masasi, Julai 24,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na waumini waliohudhuria misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin Mkapa iliofanyika katika Kijiji cha Lupaso Wilaya ya Masasi, Julai 24,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na waumini waliohudhuria misa ya kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Benjamin Mkapa iliofanyika katika Kijiji cha Lupaso Wilaya ya Masasi, Julai 24,2021.
No comments:
Post a Comment