Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel (aliyevaa kofia) akikata utepe kuzindua huduma ya duka la Vodacom linalotembea (Vodacom Mobile Shop) kwenye hafla iliyofanyika jijini Mwanza, wa kwanza kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Amina Makilagi, Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom Tanzania Linda Riwa na Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Ziwa Ayubu Kalufya(kulia), duka hilo litasogeza huduma karibu zaidi na wananchi haswa walio pembezoni.
July 24, 2022
Home
Unlabelled
Vodacom yazindua duka linalotembea jijini Mwanza
Vodacom yazindua duka linalotembea jijini Mwanza
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.





No comments:
Post a Comment