CECAFA - Uganda
Timu ya Wanawake ya CBE FC ya Ethiopia imefuzu hatua ya nusu fainali ya mashindano ya CECAFA kuwania kufuzu Fainali za Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake yanayoendelea hapa Jinja, nchini Uganda.
CBE imemaliza ikiwa vinara katika kundi A hatua ya makundi ikiwa na alama 10 baada ya leo, August 24, 2023 kuifunga timu ya Yei Joints Star magoli 4-0.
CBE itacheza nusu fainali na mshindi wa pili katika kundi B, Vihiga Queens mchezo ambao utachezwa August 27, 2023 kuanzia saa 9:00 jioni katika uwanja wa FTC - Njeru.
August 25, 2023
Home
Unlabelled
CBE YA ETHIOPIA YATINGA NUSU FAINALI CECAFA
CBE YA ETHIOPIA YATINGA NUSU FAINALI CECAFA
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.



No comments:
Post a Comment