HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 09, 2013

MIKUTANO YA TUME YA KATIBA NA VYAMA VYA SIASA TANZANIA


Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ussi Khamis, akizungumza katika mkutano na viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK), uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam, wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana. (Picha Zote kwa Hisani ya Tume ya Katiba).

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Eather Mkwizu (kulia) akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya janA.

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Salim Ahmed Salim (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Kijamii (CCK) uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.

1.      Mwenyekiti wa Chama cha Kijamii (CCK), Constantine Makitanda akizungumza katika mkutano uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mara baada ya  Chama hicho kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jan.

 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ndg. Riziki Mngwali akizungumza katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam baina ya Tume hiyo na Chama cha Wakulima (AFP), wakati ujumbe wa Chama hicho ulipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Raya Hamad akizungumza katika mkutano na Viongozi wa Chama cha Wakulima (AFP) uliofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam wakati Chama hicho kilipowasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya jana.

 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kulia) akizungumza na Viongozi wa Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD) waliofika katika Ofisi za Tume hiyo jana kuwasilisha maoni yao ya Katiba Mpya. Wa pili kulia ni Katibu wa Tume, Assaa Rashid na kushoto ni Viongozi wa Chama hicho, Juma Shariff na Moshi Kigundu.

Katibu Mkuu wa Chama cha Wakulima (AFP), Rashidi Mohamed akiwasilisha maoni yao kuhusu Katiba kwa Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam jana.

Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD) wakifuatilia mkutano baina yao na Tume ya Mabadiliko ya Katiba jana, ambapoUongozi wa Chama hicho uliwasilisha maoni yao ya Katiba Mpya.

No comments:

Post a Comment

Pages