HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 02, 2013

CRDB YAENDELEA KUDHIHIRISHA 'ULIPO TUPO' YAPELEKA HUDUMA ZA BENKI VIWANJA VYA SABASABA

Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma ya kuweka na kuchukua fedha kutoka katika tawi linalotembea 'Mobile Branch' wakati wa Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma ya kuweka na kuchukua fedha kutoka katika tawi linalotembea 'Mobile Branch' 


Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma za kibenki katika gari linalotembea kwenye Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. 

 Ofisa Mauzo wa benki ya CRDB, Vicent Lulenga akimuhudumia mteja.
 Wateja wakipata huduma za kibenki
 Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma kutoka katika banda la benki hiyo katika maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kulia ni Ofisa Mauzo wa benki ya CRDB, Mgeni Kabisama.
 Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma ya kuweka na kuchukua fedha kutoka katika tawi linalotembea 'Mobile Branch'
 Huduma za kibenki zikitolewa katika banda la benki ya CRDB.
  Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB wakifungua akaunti katika banda la CRDB wakati wa Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages