HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 23, 2013

MAN CITY ILIPOWALAZA MAN UNITED MABAO 4-1 ETIHAD

Kipa wa Man United, David de Gea akimpiga kwa mikono miwili nahodha wa Man City, Vicent Kompany, katika jaribio la kuondosha hatari langoni kwake. Katika mechi hiyo Man City ikiwa nyumbani Etihad iliilaza Man Utd kwa mabao 4-1.
Strong opinions: Graham Poll, Jamie Redknapp and Martin Keown discuss the Manchester Derby
Mwamuzi (sio wa mechi hiyo) Graham Pool kulia, akizungumza na nyota wa zamani wa timu ya taifa ya England, Jamie Redknapp na Martin Keown wakati wa mechi baina ya Man City na Man United kwenye Uwanja wa Etihad jana jioni, ambapo United ilichapwa kwa mabao 4-1.
In the book: Referee Howard Webb shows a yellow card to Matija Nastasic
Mwamuzi Howard Webb akimuonesha kadi ya njano nyota wa Man City Matija Nastasic kutokana mchezo mbaya.
Wrapped: Sergio Aguero finished beautifully to give City the lead
Mshambuliaji Sergio Aguero (wa pili kulia), akiifungia Man City bao la uongozi katika mpambano huo, huku mabeki Nemanja Vidic na Patrice Evra na mlinda mlango wao David de Gea wakishuhudia.
Landmark: It was Aguero's 50th goal for the club
Aguero akishangilia bao hilo, ambalo ni la 50 tangu alipojiunga na Man City.
Punch drunk: De Gea catches Kompany but the skipper soldiered on
Cautioned: Howard Webb shows a yellow card to Wayne Rooney
Howard Webb akimuonesha kadi ya njano mshambuliaji Wayne Rooney wa Man United katika pambano hilo.
On target: Toure scores Manchester City's second goal
Kiungo Yaya Toure wa Manchester City (kulia) akifunga bao la pili la timu yake dhidi ya Man United.
Toure de force: Yaya is like a train... he's unplayable, says Jamie
Toure akishangilia bao hilo.
Back of the net: Aguero watches the ball go past De Gea for City's third
Aguero akiutazama mpira wake ukitinga nyavuni kumpita mlinda mlango De Gea kuiandikia Man City bao la tatu.
Disbelief: Aguero celebrates with Alvaro Negredo and Samir Nasri
Aguero (wa pili kushoto) akishangilia pamoja na Alvaro Negredo na Samir Nasri.
All too easy: Samir Nasri makes it 4-0 for Manchester City
Samir Nasri akiifungia Man City bao la 4 la Manchester City.
Ecstatic: Nasri celebrates as Smalling shows his frustration in the background
Nasri akishangilia bao hilo, huku beki wa Man Utd, Smalling akisikitikia kichapo hicho.
Too late: Rooney scores a consolation goal from a free kick
Wayne Rooney wa Man United (wa pili kulia), akiifungia timu yake bao la kufutia machozi kwa adhabu ndogo 'free kick.'
Job done: City players applaud the home support
Wachezaji wa Man City wakipunga mikono kwa mashabiki kuwashukuru kwa sapoti yao baada ya filimbi ya mwisho ya mwamuzi Howard Webb.

No comments:

Post a Comment

Pages