HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 11, 2013

PROF. STAINER AZUNGUMZA NA RAIS DK.SHEIN
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na  Profesa Steiner Kvisland kutoka

hospiltali ya Chuo Kikuu cha Haukeland, Norway, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo. (Picha na Ramadhan Othman, Ikulu)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiagana na  Profesa Steiner Kvisland kutoka hospiltali ya Chuo Kikuu cha Haukeland, Norway,baada ya

mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Pages