HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

July 06, 2014

JK ATEMBELEA BANDA LA AICC

 Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni katika banda la AICC katika maonesho ya KImataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Kikwete akisikiliza maelezo kutoka kwa mfanyakazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Ekaeli Mbise baada ya kutembelea banda la AICC.
Ankal Muhidin Issa Michuzi mmiliki wa blog maarufu ya www.issamichuzi.blogspot.com nae alihakikisha hatoki ndani ya maonesho ya Sabasaba bila kutembelea banda la AICC. Hapa akisalimiana na wbaadhi ya wafanykazi wa AICC na Wizara ya mambo ya ndani.
 Wafanyakazi wa AICC na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa katika picha ya pamoja na Mheshimiwa Rais Kikwete baada ya Rais kutembelea banda la Wizara na AICC katika maonesho ya KImataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages