HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

July 07, 2014

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI

 Waziri wa Kazi na Ajira Mh Gaudentia Kabaka akisaini katika kitabu cha wageni katika banda la GEPF.
 Meneja Masoko na huduma kwa wateja katika Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw Aloyce Best Ntukamazina akitoa maelezo kwa kina kuhusu mafanikio ya ushiriki katika maonesho ya sabasaba pamoja na huduma na mafao mapya kwa wanachama wa GEP.

No comments:

Post a Comment

Pages