HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 11, 2014

KADI ZA URAIA KUCHOCHEA MAENDELEO YA KIBENKI

  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu umuhimu wa vitambulisho vya Taifa katika benki. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu. (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu akionyesha kitambulisho cha Taifa ambacho kitachochea kuleta maendeleo katika sekta ya kibenki.
  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Mwaimu akifafanua jambo.

No comments:

Post a Comment

Pages