HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 11, 2014

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB pamoja na familia zao wakiingia katika hoteli ya Kunduchi wakati wa sherehe za siku ya familia.
Michezo mbalimbali ikiendelea.

Wafanya kazi wa benki ya CRDB wakiwa pamoja na familia zao katika mchezo wa Soka wakati wa Tamasha la Family Day lililofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Watoto wakicheza michezo wakati wa sherehe za siku ya familia
Watoto wakiendesha treni.
Michezo katika maji.
Watoto wakicheza mpira wa kikapu.
Watoto wakichorwa michoro mbalimbali.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Sherehe za Siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Kunduchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kulia mstari wa nyuma) na Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu wa benki hiyo, Dorah Ngaliga wakiwa katika picha ya pamoja na watoto waliohudhuria tamasha la ‘Family Day’ lililowashirikisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao. Tamasha hilo lilifanyika Kunduchi Wet 'N' Wild Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei  Naibu Mkurugenzi wa Benki ya CRDB.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB.
Wafanyakazi wakiwa picha ya pamoja.
Vikombe vya washindi walioshinda katika michezo mbalimbali.
Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu, Dolah Ngaliga akizungumza katika sherehe hizo. Kushoto ni Dk. Kimei.
Dk. Kimei akivishwa nishani.
Maofisa wa Benki ya CRDB wakifurahia jambo.
Dk. Kimei akifurahia nishani aliyotunzwa kwa kuwajali wafanyakazi kupitia Family Day.
Washindi wa kwanza katika mchezo wa Soka wakiwa katika picha ya pamoja na Dk. Kimei.
Shabani Badi akipokea kikombe kutoka kwa Dk. Charles Kimei baada ya kuwa washindi wa kwanza katika mchezo wa soka.
Washindi wa pili.
Picha ya pamoja.
Husna Idd akipokea zawadi za madaftari baada ya kushinda katika kucheza muziki.
Husna Idd akionyesha kipaji cha kucheza muziki.

No comments:

Post a Comment

Pages