HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 07, 2014

KAMPUNI YA BIA YA MABIBO KUPITIA BIA ZAKE ZA WINDHOEK LAGER NA WINDHOEK DRAUGHT YAJITOSA KUINUA UCHUMI WA MKOA KAGERA

Mshereheshaji wa Promosheni hiyo, Andrew Kagya,
 akiwajibika.
 Meneja Mauzo wa Kanda ya Ziwa, Godfrey Mwangungulu, akielezea ubora wa Bia za Windhoek.

Fr.James Rugemalira (katikati), akiwa meza kuu na viongozi mbalimbali.  Kutoka kushoto ni Mwanasheria Mwandamizi wa Serikali mkoani Bukoba, Sakina Husein Sinda,Mganga Mkuu wa Halmsahauri ya Wilaya ya Bukoba, Hamza Mugura, Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya inayofanya shughuli zake mjini Bukoba ya KADETFU, Yusto Muchuruza, Mshauri wa Fr.James, Enic Kashasha na Andrew Kailembo, Mmiliki wa Walkgard Hoteli, Adventina Matungwa na Dk.Julius Zelothe.
 Wanahabari wakiwa kwenye promosheni hiyo.
 Wadau wakiwa kwenye promosheni hiyo
Promosheni imenogaaaa.
 Wadau wakiwa kwenye promosheni hiyo.
Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya inayofanya shughuli zake mjini Bukoba ya KADETFU, Yusto Muchuruza,akichangia mada katika promosheni hiyo.
 Wadau wakipata kinywaji cha Windhoek katika promosheni hiyo.
 Meza kuu hiyoooo, wanachangamkia Windhoek.

No comments:

Post a Comment

Pages