HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 06, 2014

KUTOKA BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Novemba 6, 2014. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea cheti cha  ubora uliothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Joseph Masikitiko kutokana  na ubora wa asali anayozalisha  na kuuza yenye  nenmbo ya P&P. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu mjini Dar es salaam Novemba 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Pages