Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akiwa na Danny Mrwanda wakiwasili kutoka Zanzibara kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo timu ya Yanga ilitolewa katika hatua a robo fainali kwa kuchapwa bao 1-0 na JKU ya Zanzibar.
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda (mbele) na mchezaji mwenzake akiwa ameshika Tv wakati wakiwasili bandarini.
Wachezaji wa Yanga wakiweka mabegi yao katika basi baada ya kuwasili na boti ya Kilimanjaro wakitokea Zanzibar.
Washambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete (kushoto) na Andrey Coutinho
wakiwasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam, jana wqakitokea
Zanzibar kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kutolewa katika hatua
ya robo fainali na timu ya JKU.
Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho
na kocha wa timu hiyo, Pluijm wakiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho
(kushoto) akiwa na kocha wa timu hiyo, Hans van der Pluijm wakiwasili katika
Bandari ya Dar es Salaam wakitokea Zanzibar baada ya kutolewa katika hatua ya
robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi.


No comments:
Post a Comment