HABARI MSETO (HEADER)


April 07, 2016

AZAM, NDANDA ZASHINDWA KUTAMBIANA

Beki wa Ndanda FC,  Kassian Ponera (juu) akikabiliana na mshambuliaji wa Azam Kipre Tchetche   wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye uwanja wa Azam Complex Chamanzi Dar es Salaam juzi. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Na Mpigapicha Wetu)

 Wachezaji wa Azama wakishangilia moja ya mabao waliofunga.

No comments:

Post a Comment

Pages