Ofisa Uwekezaji Kitengo cha Mauzo ya Nyumba wa Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Munira Omary (kulia), akimpa maelezo mmoja wa
wakazi wa Lindi aliyetembelea kwenye banda la NSSF kwenye maonesho ya Nanenane
Mkoani Lindi juu ya ununuzi wa nyumba kwa njia ya mkopo, mwanachama anaweza
kununua nyumba hizo kwa kulipa kidogokidogo kwa miaka 15 akiwa anaishi ndani ya
nyumba hizo. (Na Mpiga Picha Wetu)
August 04, 2016
Home
Unlabelled
WAKAZI WA LINDI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA NSSF
WAKAZI WA LINDI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA NSSF
Share This

About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment