Mshindi wa pili wa shindano la uchoraji wa picha za kuonesha athari za usalama barabarani.
Mshindi wa Kwanza Nasri Mwema akiwa katika picha ya pamoja na viongozi baada ya kukabidhiwa zawadi ambapo pia Shule yake ya Amani ilizawadiwa sh. mil. 2.
About HABARI MSETO
No comments:
Post a Comment