

Mhandisi Kedrick Chawe (kulia) akisalimiana na mgeni rasmi wa maonesho ya Utalii ya Karibu Kusini, Waziri wa Maliasili na utalii, Mhe. Prof. Jumanne Maghembe. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi. Amina Masenza (mwenye ushungi mweupe) na wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Bw. Richard Kasesela.


No comments:
Post a Comment