HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 19, 2018

UTT AMIS PLC YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WASTAAFU WATARAJIWA WA WAKALA WA MISITU TANZANIA

Ofisa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS PLC, Bi. Martha Mashiku, akitoa elimu ya uwekezaji wa pamoja kwa wastaafu watarajiwa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania katika Ukumbi wa Mkutano wa Hoteli ya Kings Way mkoani Morogoro. (Na Mpiga Picha Wetu).
 Baadhi ya washiriki wakipata elimu juu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa wastaafu watarajiwa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Pages