HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 26, 2019

NAIBU SPIKA DKT. TULIA AZINDUA KITABU CHA "VIWANDA: MOVING TANZANIA FORWARD" KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI JIJINI DODOMA

 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na waheshimiwa wabunge, watumishi wa Ofisi ya Bunge na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Viwanda: Moving Tanzania Forward" katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa ESAURP, Prof. Ted Maliyamkono, akizungumza na waheshimiwa wabunge, watumishi wa Ofisi ya Bunge na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Viwanda: Moving Tanzania Forward katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizindua kitabu cha "Viwanda: Moving Tanzania Forward" mbele ya waheshimiwa wabunge, watumishi wa Ofisi ya Bunge na wageni waalikwa (wote hawapo kwenye picha) katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni mwandishi wa kitabu hicho, Prof. Teddy Maliyamkono.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akimpongeza mwandishi wa kitabu cha "Viwanda: Moving Tanzania Forward", Pro. Teddy Maliyamkono mbele ya waheshimiwa wabunge, watumishi wa Ofisi ya Bunge na wageni waalikwa (hawapo kwenye picha) katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. (PICHA NA OFISI YA BUNGE).

No comments:

Post a Comment

Pages