HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 27, 2019

WAZIRI PROF. KABUDI KATIKA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus, wakielekea kwenye kikao. Kulia ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Modest Mero.
  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus. Mazungumzo hayo yamefanyika New York, Marekani
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedross Adhamon Ghebreyesus, mara baada ya kumaliza mazungumzo Jijini New York Nchini Marekani

No comments:

Post a Comment

Pages