HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 06, 2019

MSEMAJI WA JESHI LA POLISI NCHINI, SACP MISIME ATOA SOMO KWA TAASISI YA KUTOA ELIMU YA AMANI TANZANIA

Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini, SACP David Misime akizungumza na wajumbe wa Taasisi ya Kutoa Elimu ya Amani Tanzania hawapo pichani lengo likiwa ni kuwafundisha wajumbe hao juu ya namana ya kukabiliana na wavunjifu wa amani na namna ya kutatua matatizo yanayoweza kuwa na madhara makubwa kwa jamii kabla hayajatokea, kikao hicho kilifanyikia eneo la Mbagara wilayani Temeke jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Fimbo Hotel. (Picha na Jeshi la Polisi).
Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini, SACP David Misime akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Taasisi ya Kutoa Elimu ya Amani Tanzania njee ya ukumbi wa fimbo hotel na kushoto kwake ni Mkuu wa Kitengo cha Maboresho
ya Jeshi la Polisi SACP Kiyondo na kulia kwa SACP Misime ni Rais wa Taasisi hiyo Willison George.

No comments:

Post a Comment

Pages