Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dk. Agnes Kijazi, akimkaribisha Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, kwenye uzinduzi
rasmi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), jijini Dar es Salaam Septemba 5, 2019.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akisalimiana na Mkurugenzi Huduma za Utabiri, Dk. Hamza Kabelwa.
Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za Ufundi Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), D. Pascal Waniha, akitoa maelezo kwa Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, jinsi kifaa cha uhakiki wa vifaa vya kupima upepo unafanyika hapa hapa nchini pamoja na vifaa vinavyopima mgandamizo wa hewa pamoja na joto visivyotumia zebaki.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo mara baada ya kupata maelezo ya jinsi
kifaa cha uhakiki wa vifaa vya kupima upepo unavyofanyika hapa hapa nchini.


Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akizundua
rasmi Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dk. Agnes Kijazi na kulia ni
Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Bodi ya Ushauri ya TMA, Dk. Buruhan
Nyenzi.
Igizo kuhusu hali ya hewa.
Uzinduzi wa mifumo ya hali ya hewa.

Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dk. Agnes Kijazi.
No comments:
Post a Comment