HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 29, 2019

TIMU YA MAOFISA WAKUU WAANDAMIZI WA JESHI LA POLISI NA MAKAMANDA WA MIKOA NA VIKOSI KUTEMBELEA MRADI MKUBWA WA KUZALISHA UMEME KATIKA MTO RUFIJI

Mhandisi Steven Manda akiwatembeza sehemu mbalimbali Maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Mikoa na Vikosi walipotembelea mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika Mto Rufiji mkoani Pwani baada ya kufanya ziara ya siku moja katika mradi huo.(PICHA NA JESHI LA POLISI).
Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp Mohamed H. Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Mikoa na Vikosi baada ya kutembelea mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika mto Rufiji mkoani Pwani.
Wa kwanza kulia ni Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Mohamed H. Hassan, akiongoza Maofisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Mikoa na Vikosi kutembelea mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika mto rufiji.

No comments:

Post a Comment

Pages