HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 15, 2020

MGOMBEA MWENZA CHADEMA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI ARUMERU MAGHARIBI

 

Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Sokoni, Kisongo jimbo la Arumeru Magharibi.

Mgombea wa nafasi ya umakamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Arumeru Magharibi, Gibson Ole- Meiseyeki,  wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Sokoni, Kisongo jimbo la Arumeru Magharibi.
Madiwani Chadema wanaogombea katika kata tofauti katika jimbo la Arumeru Magharibi.

No comments:

Post a Comment

Pages