HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 20, 2021

CRDB yawezesha semina ya wajasiriamali

 


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (katikati), akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Tobi Peanut Butter, Agatha Laizer kuhusu bidhaa wanazozalisha wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo. Wa tatu kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa. (Na Mpiga Picha Wetu).

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) na Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, wakimkabidhi cheti mwakilishi wa taasisi ya TAYOA kwa kutambua mchango wa taasisi hiyo wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na Benki ya CRDB mwishoni mwa wiki.

Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, akimkabidhi cheti Meneja Bidhaa Mwandamizi wa Huduma za kibenki kwa Wanawake Benki ya CRDB, Rachel Senni, kwa kutambua mchango wa benki hiyo ambayo ilidhamini mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Mkurugenzi Abdulmajid Nsekela.

Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, akimkabidhi cheti Meneja Bidhaa Mwandamizi wa Huduma za kibenki kwa Wanawake Benki ya CRDB, Rachel Senni, kwa kutambua mchango wa benki hiyo ambayo ilidhamini mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Mkurugenzi Abdulmajid Nsekela.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, akitoa hotuba yake wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo.

Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, akitoa hotuba yake wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia), akizungumza na Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo.


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) na Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa, wakimkabidhi cheti cha mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali, Esther Sumaye,  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akipogezwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Anna Mkapa mara baada ya kutoa hotuba yake wakati wa kufunga mafunzo ya Wanawake Wajasiriamali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na benki hiyo.


No comments:

Post a Comment

Pages