HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 02, 2021

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhandisi Hamad Masauni aitembelea UTT AMIS

Mtendaji Mkuu wa Mifuko ya Uwekezaji wa pamoja UTT-AMIS, Simon Migangala (kushoto) akizungumza wakati  Naibu Waziri  wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad  Masauni alipotembelea ofisi za UTT AMIS Julai  30, 2021, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.


Naibu Waziri  wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad  Masauni, akizungumza na menejimenti na wafanyakazi wa Kampuni ya UTT AMIS alipotembelea ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam UTT AMIS Julai  30, 2021, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.




Naibu Waziri  wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad  Masauni akiwa katika picha ya kumbukumbu alipotembelea UTT AMIS siku ya Ijumaa tarehe 30, Julai 2021, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.


No comments:

Post a Comment

Pages