HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 19, 2023

Rais Samia azungumza katika Mkutano wa Nishati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akizungumza katika mkutano wa masuala ya Nishati (Powering the World) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Congress Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.

 

 

No comments:

Post a Comment

Pages