HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 21, 2023

SPIKA DKT. TULIA, KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE WAFANYA MAZUNGUMZO NA KAMATI TEULE YA MHE. RAIS YA KUTATHMINI UFANISI NA UTENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wajumbe wa Kamati teule ya Mhe. Rais ya kutathmini ufanisi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiongozwa na Mwenyekiti, Balozi Mstaafu, Mhe. Hassan Yahya (Kulia kwake) walipomtembelea leo tarehe 21 Aprili, 2023 Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Pages